wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Kumekua na ongezeko la mauaji ya watu hasa nchini kenya na Tanzania siku za hivi karibuni.
Tumezoea kusikia mauaji ya kinyama huko marekani, india na ulaya lakini si Africa
Je, ni nini kinasababisha watu kuuana wenyewe kwa wenyewe na hii tabia inawezaje kukomeshwa?
Tumezoea kusikia mauaji ya kinyama huko marekani, india na ulaya lakini si Africa
Je, ni nini kinasababisha watu kuuana wenyewe kwa wenyewe na hii tabia inawezaje kukomeshwa?