Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Hapana sio pdidy bana
nshazeeka sasa natunza familia ..nimesikia mtangazaji mmoja wa clouds fm
arnold kayanda kipindi cha jahazi akisema pamoja na serikali kukaa kimya
kuhusu yale madude yetu mwenzie akauliza yapi yale macameroon uyajui??
Nikasema yalaaaaaaahhh kijana vipi tena,,akuishia hapo akasema nimekuwa
nikzunguka baadhi ya club haya madudu yamezidi kuongezeka kila kukicha kwa kweli
pamoja na cameroon kusema nahisi ameangalia idadi ya haya madude yanavyoongozeka
mmmmh..nikasema ningekuwa bungeni ningemuuliza kijana atupe muelekeo zaidi tuweze
kuelezea serikalini jinsi ya kuwaondoa kabisa haya mauchafu....
nshazeeka sasa natunza familia ..nimesikia mtangazaji mmoja wa clouds fm
arnold kayanda kipindi cha jahazi akisema pamoja na serikali kukaa kimya
kuhusu yale madude yetu mwenzie akauliza yapi yale macameroon uyajui??
Nikasema yalaaaaaaahhh kijana vipi tena,,akuishia hapo akasema nimekuwa
nikzunguka baadhi ya club haya madudu yamezidi kuongezeka kila kukicha kwa kweli
pamoja na cameroon kusema nahisi ameangalia idadi ya haya madude yanavyoongozeka
mmmmh..nikasema ningekuwa bungeni ningemuuliza kijana atupe muelekeo zaidi tuweze
kuelezea serikalini jinsi ya kuwaondoa kabisa haya mauchafu....