cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,481
- 137,112
Fimbo ya mbali haiui nyoka...We umetoka Mbeya hawala ametoka Simiyu. What do you expect?
Fimbo ya mbali haiui nyoka...We umetoka Mbeya hawala ametoka Simiyu. What do you expect?
Boom linawachanganya watu aisee
Ndo linapelekea ku-fake maisha na ujuaji mwingi
Kabisaaa yaan.Kilichowaunganisha ndicho kitakachowatenganisha, mmependana mwanzo wa masomo na mtaachana mwisho wa masomo
Kilichowaunganisha ndicho kitakachowatenganisha, mmependana mwanzo wa masomo na mtaachana mwisho wa masomo
umeua kabisa.Boom linawachanganya watu aisee
Ndo linapelekea ku-fake maisha na ujuaji mwingi
Basi likifika mwisho wa safari huna budi kushuka ili kuwapisha wengine wanaoenda kwengineHivi kwanini mahusiano ya vyuoni i.e college/university huaga hayadumu..?
Unakuta mmekutana mumeelewana kabisa na mnaweza mkaishi miaka yote mtakayokua chuo kama wapenzi/wachumba ILA shule ikiisha tuu mkirud majumbani mambo yanaharibika taratibu mpaka mna~brake up.
Ukimaliza kula ndizi Ganda utaendelea kushikilia?Hivi kwanini mahusiano ya vyuoni i.e college/university huaga hayadumu..?
Unakuta mmekutana mumeelewana kabisa na mnaweza mkaishi miaka yote mtakayokua chuo kama wapenzi/wachumba ILA shule ikiisha tuu mkirud majumbani mambo yanaharibika taratibu mpaka mna~brake up.