Kwa nini mapenzi ya vyuoni huisha baada ya kumaliza masomo?

Hivi kwanini mahusiano ya vyuoni i.e college/university huaga hayadumu..?

Unakuta mmekutana mumeelewana kabisa na mnaweza mkaishi miaka yote mtakayokua chuo kama wapenzi/wachumba ILA shule ikiisha tuu mkirud majumbani mambo yanaharibika taratibu mpaka mna~brake up.

Basi likifika mwisho wa safari huna budi kushuka ili kuwapisha wengine wanaoenda kwengine
 
Sio kweli. I have been with her, this is the third year now. Ye akiwa chuo na mie kitaa tena mkoa na maisha yanaendelea. Kikubwa ni commitment
 
Sio kweli. I have been with her, this is the third year now. Ye akiwa chuo na mie kitaa tena mkoa na maisha yanaendelea. Kikubwa ni commitment

giphy.gif
 
Hivi kwanini mahusiano ya vyuoni i.e college/university huaga hayadumu..?

Unakuta mmekutana mumeelewana kabisa na mnaweza mkaishi miaka yote mtakayokua chuo kama wapenzi/wachumba ILA shule ikiisha tuu mkirud majumbani mambo yanaharibika taratibu mpaka mna~brake up.

Ukimaliza kula ndizi Ganda utaendelea kushikilia?
 
Back
Top Bottom