Kwa nini mabalozi (kumi-kumi) wa CCM ni vikongwe?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
Katika pitapita zangu jijini Dar nimegundua kitu kimoja kilichonishangaza. Hawa mabalozi wa nyumba kumi-kumi wa CCM ni vikongwe, wengi wao tayari wamo, au wanaingia katika umri wa miaka 70 au zaidi.

Ukichunguza kila nyumba yenye bendera ya CCM utagundua mjumbe wa kumi-kumi ni mzee, hakuna kijana.

Inakuwaje? Kwani ndani ya CCM hakuna vijana ambao wanaweza kushika ny
adhifa hizo?
 
Katika pitapita zangu jijini Dar nimegundua kitu kimoja kilichonishangaza. Hawa mabalozi wa nyumba kumi-kumi wa CCM ni vikongwe, wengi wao tayari wamo, au wanaingia katika umri wa miaka 70 au zaidi.

Ukichunguza kila nyumba yenye bendera ya CCM utagundua mjumbe wa kumi-kumi ni mzee, hakuna kijana.

Inakuwaje? Kwani ndani ya CCM hakuna vijana ambao wanaweza kushika ny
adhifa hizo?

Mbona mimi kijana na ni balozi
 
Mbona mimi kijana na ni balozi

Mwanzishaji thread alisema wengi wa mabalozi hao ni wazee. Tafsiri halisi ni kwamba CCM nayo imezeeka na inafikia ukingoni. Na hawa wazee ndiyo watashuhudia kuizika, kwani walishindwa kuikemea ilipokuwa inaanza kwenda hovyo kwa sababu ya kupewa hongo za siku moja.
 
Back
Top Bottom