ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Kama ushahidi wa kamati ya bunge unatosha kufungua kesi ya jinai kwa nini DPP asiwapeleke lowasa na wenzake mahakamani mapema ili tusiingize mafisadi ikulu? Heri jipu lipasuke sasa kuliko baada ya uchaguzi! Dr Slaa alichoeleza kinatosha kwa jinai ya matumizi mabaya ya madaraka na utapeli na kuitia serikali hasara. Kama ikulu haihusiki kigugumizi cha nini. Dowans ni mzigo usiostahili kulipwa na walipa kodi.