Huyu EL ni kituko cha mwaka,hajui kama watanzania washajua janja yake ya kufanya harambe ni yakuficha maovu yake? My Take kwake aache kuwahada wachungaji wenye dhiki ya maisha ili wampe mialiko ya harambe ,MUNGU atamuaibisha kila aendako hadi pale atakaposema ukweli wa RICHMOND ..pole sana EL huna nafasi ya kuwa RAIS.