japhet nkwabi
Member
- Mar 8, 2013
- 91
- 15
Unakuta kijana kampa binti ujauzito(mimba) halafu anamkataa, binti anavumilia mpaka anajifungua na anaendelea kulea huyo mtoto, Mungu si binadamu binti anapata bwana wakumuoa akishaolewa unaona kile kidume cha kwanza kinaanza kumvizia tena huyo dada napata kigugumizi WHY!!!!!