Kwa nini Lakini.............wana...... barabarani

tzjamani

JF-Expert Member
Oct 9, 2010
995
30
Jamani msaada kwenye tuta. Ama kweli utamaduni wa watu wengine shida kwangu.

Hawa jamani (wazungu) walianzaje hii kitu? Najua bongo nasi tunaenda huku tu...........

Sijui niseme?

Basi ngoja nieleze kinachonisibu.

Wazungu (wazeee yaani babu/bibi, baba/mama, vijana wa dotcom) iwe kwenye basi, reli, au wanatembea kwa miguu mara dosi ya dakika 5 (kunywa mate, mpaka wanalia kwenye road) ndio safari inaendelea. Wengine tunapata mfadhaiko wa moyo tunawakumbuka wenzetu ambao wako mbali nasi.

Nawakilisha
ila wananikumbusha ........... na kunipa presure na sipendi kuchakachua.


Enzi zetu bongo mtu kuongoza na mkeo mwiko yaani lazima mpishane hatua 100 hata kama mnaenda sehemu moja. Achilia mbali kushikana mikono.

Wataalamu hebu tupeane shule hawa jamaa walianzaje kuwa "huru" hivi?
Je, wanakuwa wako serious in love au wengine wazuga tu?
Wabongo tunaenda huko, nini faida na hasara ya kufika huko?
 
tzjamani..usione aibu kuonyesha malove doveee kwa mkeo
ila hio ya kunyonyana ndimi njiani hapana....
nishike mkono tu inatosha...:redfaces:
 
tzjamani..usione aibu kuonyesha malove doveee kwa mkeo
ila hio ya kunyonyana ndimi njiani hapana....
nishike mkono tu inatosha...:redfaces:

Asante Fab, ngoja nivumilie tu.
Ila vijana wa dotcom wanaya-copy haya mambo na kuya-paste bongoland.
 
ukishaelewa naomba unieleweshe

Preta usijifanye hujaelewa wakati siku zile kabla hujawa bosi ulikuwa unawachungulia sana akina Danny na Tom wanavyonanihiino na wachumba zao pale kwenye s/pool!
 
duuhhh sijui walianzaje kuwa huru lakini mbona haya mambo ya kawaida tu....
 
Muulize Preta kama kule Yaeda ni ya kawaida tu...
Baada ya muda hata ushoga utaonekana kawaida.hasa bongo

unajua wazungu wanafanya haya mambo bila hata ya kufikiri ...
ila sisi wabongo tukiona mtu kafanya hivyo tunaanzakwakodolea macho na hata kuongea vibaya...
bongo bwana ukimshika mtu mkono wanaanza kusema ndo chanzo cha ngoma...
 
unajua wazungu wanafanya haya mambo bila hata ya kufikiri ...
ila sisi wabongo tukiona mtu kafanya hivyo tunaanzakwakodolea macho na hata kuongea vibaya...
bongo bwana ukimshika mtu mkono wanaanza kusema ndo chanzo cha ngoma...

halaf mizungu ni migonjwa sana bana, utaona inafanya mambo kibao barabarani halaf inaagana kila mtu anaenda upande wake, limwanaume hata bukta haikusimama, sisi waafrika ukipata ujoto wa manzi tu antenna inaanza kusearch hehehehe bora tusiige bana tutakuja kuazirika katikati ya motorway.
 
halaf mizungu ni migonjwa sana bana, utaona inafanya mambo kibao barabarani halaf inaagana kila mtu anaenda upande wake, limwanaume hata bukta haikusimama, sisi waafrika ukipata ujoto wa manzi tu antenna inaanza kusearch hehehehe bora tusiige bana tutakuja kuazirika katikati ya motorway.

aaaaahhhhhh bwana mambo ndo yalikuwa yanaanza kupamba moto......
mmmmhhhh endelea tu hahahahha lol
 
Hata wewe unaweza, usione aibu lakini, na wala usisikilize watu wanasema nini!, wenzetu ni mila!
 
Hata wewe unaweza, usione aibu lakini, na wala usisikilize watu wanasema nini!, wenzetu ni mila!
 
@ Afro mwana wa denzi. itaendelea next jumanne, hakikisha unalog in mapema ehehehe
 
halaf mizungu ni migonjwa sana bana, utaona inafanya mambo kibao barabarani halaf inaagana kila mtu anaenda upande wake, limwanaume hata bukta haikusimama, sisi waafrika ukipata ujoto wa manzi tu antenna inaanza kusearch hehehehe bora tusiige bana tutakuja kuazirika katikati ya motorway.

mmh, ya ngoswe mwachie ngoswe!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom