mankipe
Member
- Mar 7, 2011
- 96
- 12
ndugu wa Tz wenzangu ivi ni kwa nini kwenye ile picha inayoonyesha jinsi Tanganyika na Zanzibar walivyoungana ina picha ya kiongozi wa upande mmoja ie Nyerere akichanganya udongo bila kuwepo mzee Karume? au ni kweli karume alipelekeshwa na Nyerere kukubali muungano bila ridhaa ya wanzanzibar? napenda kuwakilisha hoja