Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,638
- 2,720
Nilitokwa na jicho nilipopanda ndege kwa mara ya kwanza. Air hostes akatangaza kuwa ikitokea umeme ukakatika ndani ya ndege (utadhani vile TANESCO) basi kuna life jacket, au boya la kuogelea chini ya kiti. Nikawaza kwa nini wasingeweka parachuti na badala yake wameweka boya?