Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,133
Kwa nini kusamehe ni muhimu?
Kusaheme ni vizuri sana kwa moyon wako.
Kusaheme kuna uhusiano mkubwa na Blood pressure (BP) pamoja na kupunguza Stress hivyo kusamahe huweza kukupa faida kubwa sana kwa afya yako ya moyo.
Pia kusaheme kuna matokeo postitive na dalili za kimwili kiafya, dawa unazotumia (medication), kiwango cha usingizi, kuchoka na kulalamika.
Hii ina maana kwamba mtu asiyesamahe hupata matokeo negative kwa yaliyotajwa hapo juu.
Kusamahe huimarisha mahusiano na urafiki.
Kusamahe huimarisha roho ya kujitolea (volunteerism) na kuwa watoaji katika jamii.
Kusahamehe hupunguza uadui.
Kusamahe ni njia nzuri ya kujilinda na hasira.
Kusamehe hukuongezea kiroho chako na kujisikia vizuri mbele za Mungu
Kusamahe huimarisha saikolojia yako
Kusamehe hupunguza maumivu sugu
Kusamehe ni kukaribisha uponyaji wa mwili na roho
Forgiveness is choosing to love. It is the first skill of self-giving love.
Kusaheme ni kitu kizuri sana kwa mwili wako, mahusiano yako na mahali ulipo duniani hivyo achana na hasira za kutosamehe na badala yake samahe ili ufanye dunia mahali bora kuishi.
Wapo watu ambao husema anasamehe lakini hasahau, ukweli hasara ya kutosamehe ni kubwa sana kwa anayetakiwa kusamehe kuliko anayesamehewa.
In the Bible it says they asked Jesus how many times you should forgive, and he said 70 times 7.
Well, I want you all to know that I'm keeping a chart.
(Hillary Rodham Clinton)
Kusaheme ni vizuri sana kwa moyon wako.
Kusaheme kuna uhusiano mkubwa na Blood pressure (BP) pamoja na kupunguza Stress hivyo kusamahe huweza kukupa faida kubwa sana kwa afya yako ya moyo.
Pia kusaheme kuna matokeo postitive na dalili za kimwili kiafya, dawa unazotumia (medication), kiwango cha usingizi, kuchoka na kulalamika.
Hii ina maana kwamba mtu asiyesamahe hupata matokeo negative kwa yaliyotajwa hapo juu.
Kusamahe huimarisha mahusiano na urafiki.
Kusamahe huimarisha roho ya kujitolea (volunteerism) na kuwa watoaji katika jamii.
Kusahamehe hupunguza uadui.
Kusamahe ni njia nzuri ya kujilinda na hasira.
Kusamehe hukuongezea kiroho chako na kujisikia vizuri mbele za Mungu
Kusamahe huimarisha saikolojia yako
Kusamehe hupunguza maumivu sugu
Kusamehe ni kukaribisha uponyaji wa mwili na roho
Forgiveness is choosing to love. It is the first skill of self-giving love.
Kusaheme ni kitu kizuri sana kwa mwili wako, mahusiano yako na mahali ulipo duniani hivyo achana na hasira za kutosamehe na badala yake samahe ili ufanye dunia mahali bora kuishi.
Wapo watu ambao husema anasamehe lakini hasahau, ukweli hasara ya kutosamehe ni kubwa sana kwa anayetakiwa kusamehe kuliko anayesamehewa.
In the Bible it says they asked Jesus how many times you should forgive, and he said 70 times 7.
Well, I want you all to know that I'm keeping a chart.
(Hillary Rodham Clinton)