Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Kama kazi ya MUNGU haina makosa, kwa nini kina baba tunakata 'vikofia' vya 'fimbo shughuli' kwa kisingizio cha ustaarabu wa Mashariki ya kati (yaani kama wanavyofanya Wayahudi na Waislam-kutahili)?
Mie napanga kuwashitaki wazazi wangu wanirudishie 'kikofia' changu.
Naomba ushauri kabla ya kuchukua hatua hiyo.:target::target::target:
Mie napanga kuwashitaki wazazi wangu wanirudishie 'kikofia' changu.
Naomba ushauri kabla ya kuchukua hatua hiyo.:target::target::target: