Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
try ignorancy
Kama kazi ya MUNGU haina makosa, kwa nini kina baba tunakata 'vikofia' vya 'fimbo shughuli' kwa kisingizio cha ustaarabu wa Mashariki ya kati (yaani kama wanavyofanya Wayahudi na Waislam-kutahili)? Mie napanga kuwashitaki wazazi wangu wanirudishie 'kikofia' changu.
Naomba ushauri kabla ya kuchukua hatua hiyo.:target::target::target: