inabidi wakodi majenereta na kununua mafuta ili kuchaji BVR
inabidi walipie umeme kwa maeneo yenye umeme ili kuchaji BVR.
hawa jamaa wameshindwa kununua BVR nyingi kuwatosha watu wote waandikishwe bila bugudha. na hiki ndicho chanzo cha hali inayoonekana kwenye uandikishaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.