Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 2,836
- 8,612
- Thread starter
- #21
WaTanzania wenye vipaji vya kugundua teknolojia wapo wengi sana na kila siku wanagundua. Tatizo ni uwekezaji katika wabunifu wa ndani na pia mfumo wa elimu sio rafiki.Upumbavu huo futa kichwani.
Nchi yako ingekua imevumbua teknologia hata moja ya maana unayoitumia hadi sasa ndio ungesema maneno hayo.