Kwa nini kina dada hamsitiri maungo yenu?

mzibua chemba

JF-Expert Member
Jul 18, 2016
476
412
Nawakubali sana wale wenzetu wa upande wa pili kwa kua wanajua kujisitiri na kuficha toka nywele mpaka unyayoni hili linapunguza mwanaume usimtamani ovyo ovyo
Mwanaume ni mtu anaesisimka haraka sana aonapo maungo ya mwanamke hivi hawa madem wanaovaa mishanga rundoooo alafu huifuniki hivi mnategemea nini? Shanga nyingi ni uchafu uliopitiliza...
 
Nawakubali sana wale wenzetu wa upande wa pili kwa kua wanajua kujisitiri na kuficha toka nywele mpaka unyayoni hili linapunguza mwanaume usimtamani ovyo ovyo
Mwanaume ni mtu anaesisimka haraka sana aonapo maungo ya mwanamke hivi hawa madem wanaovaa mishanga rundoooo alafu huifuniki hivi mnategemea nini? Shanga nyingi ni uchafu uliopitiliza...
d381d2aa625ed978fed6ad6da1e42812.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom