Habari kutoka vyanzo mbalimbali vinasema Charles Kimei halali kusaka ugavana wa benki kuu ikiwa kununua waandishi wa habari ili kila leo aonekane wakati mwingine kwenye shughuli zisizokuwa na kichwa wala miguu atahakikisha anapata coverage ya kutosha.
na amekuwa akiona JK anakwenda mahala atahakikisha kuna watu wake wa CRDB.
safari za U.K za JK za hivi karibuni huyu bwana alipeleka watu wake hakukuwa na sababu ya kuja mara mbili ila ndio jamaa yuko kwenye kampeni.
na tunawasisi na phd yake ni zile kundi la kina David Mathayo, DR.kamala,DR.Warioba wa Mzumbe University, Mary Nagu na augustino Mrema.
na amekuwa akiona JK anakwenda mahala atahakikisha kuna watu wake wa CRDB.
safari za U.K za JK za hivi karibuni huyu bwana alipeleka watu wake hakukuwa na sababu ya kuja mara mbili ila ndio jamaa yuko kwenye kampeni.
na tunawasisi na phd yake ni zile kundi la kina David Mathayo, DR.kamala,DR.Warioba wa Mzumbe University, Mary Nagu na augustino Mrema.