Kizuio
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 845
- 521
Papa ana nembo mbili
Kwanza ni kiongozi wa kidini
Pili ni kiongozi wa nchi inayoitwa Vatican
Na mara nyingi naona viongozi wengi Duniani wa kisiasa wakishinda tu piga ua lazima afike Vatican kwa mazungumzo iwe kwa kutangazwa au kimyakimya
Ni kujitambulisha tu au kuna ziada?
Wajuvi wa mambo mtujuze
Kwanza ni kiongozi wa kidini
Pili ni kiongozi wa nchi inayoitwa Vatican
Na mara nyingi naona viongozi wengi Duniani wa kisiasa wakishinda tu piga ua lazima afike Vatican kwa mazungumzo iwe kwa kutangazwa au kimyakimya
Ni kujitambulisha tu au kuna ziada?
Wajuvi wa mambo mtujuze