vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
..Teh! tehh!! Teehhhh!!! Huyu lazima atakuwa msukuma tu.
.Sajent...Yaani wewe katika Karne hii bado unamawazo ya kibaguzi tu...Kwako umeona wasukuma ndo Jamii isiyoelimika sio?.Basi km umesoma elimu yako haina faida ktk jamii yetu.pia km umesoma basi bado haujaelimika...Usipende kudharau au kushusha thamani ya Binadamu wenzio....Jaribu kuheshimu watu wote bila kujari Dini,kabila,au Taifa...Kama sisi kwa sisi tu na Baguana na kudharauriana je nani atakaye ona thamani yetu km Wa Tanzania...Yaani mwafirika anambagua mwenzie je Mzungu,au Mhindi atafanyaje sasa!!?.Huyu lazima atakuwa msukuma tu
Naipenda ile picha yako ya long yenye MEWATA naomba unitumie.
.Sajent...Yaani wewe katika Karne hii bado unamawazo ya kibaguzi tu...Kwako umeona wasukuma ndo Jamii isiyoelimika sio?.Basi km umesoma elimu yako haina faida ktk jamii yetu.pia km umesoma basi bado haujaelimika...Usipende kudharau au kushusha thamani ya Binadamu wenzio....Jaribu kuheshimu watu wote bila kujari Dini,kabila,au Taifa...Kama sisi kwa sisi tu na Baguana na kudharauriana je nani atakaye ona thamani yetu km Wa Tanzania...Yaani mwafirika anambagua mwenzie je Mzungu,au Mhindi atafanyaje sasa!!?.
Sio kwamba na yeye anaendesha ovyo? Huko nyuma na ubavuni mbona hajajikinga ingawaje hakuonekani!Kaweka ili kujikinga na madereva waendesha hovyo...
nilipokuwa mdogo kuna jamaa alijifanya mjuaji sana akatupiga fix ati hicho ki-ngao cha Mercedes ni dola elfu 25!
kama si mkinga basi wa kunjombe,,,heheeeee samahani