Mi sijamsikia kaenda irak au kwa libya,au huko hamna vitoroli vya farasi?
Ritz mbona hujanipatia ile kazi mkuu ya kusuply mafridge used?Watanzania bana JK akisafiri tabu hasipo safari tabu.
Una maakili sana wewe jamaaKule hakuna wasanii wengi wa kupiga nao picha.
Hana UDHU
Yaani hamjui anajiandalia makao baada ya kumaliza muda wake? Waarabu wanauwana kila cku hakufai kuishi huko