This guy is a big joke, yaani unajua mimi nashindwa kuelewa hata wanaomwamini ni kwa misingi ipi? Heleweki anasimamia nini, anaogopa debate, anaogopa hata kutja tu neno ufisadi and yet anatoa tu miahadi amabayo hata kama atajaribu kufanya hela zitaliwa as usual na kwa sababu walaji ndiyo wachangiajai wa kampeni yake............... basi itakuwa kama ilivyokuwa
Point to note:
" Ni wapi na lini raisi serious kwenye masuala ya rushwa na ufisadi anakuwa rafiki wa wafanya biasahara woote ndani ya nchi, wafanyabiashara wa aina tulionao hapo bongo"