Ni kweli kwamba maisha ni magumu hata huko, nafuu ni kwamba wananchi wengi huko don't give a shit to crude politicians au mtu anayewadanganya! Hapa kwetu hali ni tofauti, wananchi hawajui haki zao na wakizijua hawana ujasiri wa kuzitetea!
Asikudanganye mtu,
Wananchi wa kenya wangekuwa wanajua haki zao wasingekuwa wanafuata siasa za mkumbo wa kikabila wala wale jamaa hawajui haki zao labda haki za kabila(samahni wakenya kama nimewaudhi). Leo, hii Ruto ,Uhuru(kiongozi wa ------utamalizia) na nyoka msaliti Msyoka wameuungana na wananchi wa makibila yao wameungana nao wanajiita KKK. Its a BIG SHIT. Ocampo asipofanya mapema Raila hana lake. SHIT SHIT and SHIT. Ufisadi ulioko kenya ka dowans ni cha mtoto.