Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu zangu,
Inavyoonekana hii hali ya maisha kuendelea kuwa mbaya inatukumba watanzania tu. Wenzetu wakenya, waganda na warwanda mambo yao yanaendela vizuri tu. Viongozi wetu wamekuwa wakisingizia 'hali mbaya ya kiuchumi duniani' lakini kwa nini hali hiyo itukumbe na kuleta madhara makubwa waTZ kuliko wenzetu niliowataja!! Ni nini walichofanya wenzetu kiasi cha kutotetereka kiuchimi??
Inavyoonekana hii hali ya maisha kuendelea kuwa mbaya inatukumba watanzania tu. Wenzetu wakenya, waganda na warwanda mambo yao yanaendela vizuri tu. Viongozi wetu wamekuwa wakisingizia 'hali mbaya ya kiuchumi duniani' lakini kwa nini hali hiyo itukumbe na kuleta madhara makubwa waTZ kuliko wenzetu niliowataja!! Ni nini walichofanya wenzetu kiasi cha kutotetereka kiuchimi??