Kwanini Israel iruhusiwe kuwa na silaha za nyuklia?

mdau wetu

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
548
58
Waziri Mkuu wa Uturuki amesema kuwa nchi za Magharibi zinaendesha siasa za nyuso mbili katika suala zima la silaha za nyuklia.

Recep Tayyid Erdogan amesema hayo alipohojiwa na televisheni ya CNN na kuongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndio utawala pakee unaomiliki silaha za nyuklia katika eneo la Mashariki ya Kati na kuhoji akisema, vipi nchi hizo ambazo zinaizuia Iran kuwa na silaha za nyuklia haziipigi marufuku pia Israel kumiliki silaha hizo?

Uturuki imepunguza kwa kiasi kikubwa uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya Tel Aviv kukataa kuomba radhi kutokana na makomandoo wake kuuvamia msafara wa meli za misaada uliokuwa unaelekea Ghaza tarehe 31 Mei, 2010 na kuua raia tisa wa Uturuki.

Hata hivyo mapema mwezi huu, Waziri wa Uchumi wa Uturuki alisema kuwa nchi yake itaendelea kuwa na uhusiano wa kawaida wa kibiashara na utawala dhalimu Israel.

Takwimu zinaonyesha kuwa, mabadilishano ya kibiashara kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni yalifikia dola bilioni 2.3 kuanzima mwezi Januari hadi Julai mwaka huu.

Kwa hisani ya Redio Tehran
 
Hakutakiwi kuwa na nchi yenye haki kuliko nyingine duniani. Hivyo nchi yoyote ikiamua kumiliki silaha za nuklia, au nyinginezo, ina haki ya kutokupigiwa kelele, hasa na walio na silaha hizo!
 
Israel imezungukwa na maadui pande zote hivyo ni vizuri ikawa na silaha za nyuklia za kujilinda! Hata hivyo sina uhakika kama Israel ni signatory wa Nuclear Non-Proliferation Treaty!
 
wamarekani wanajiongezea tu kutafuta mataifa ya kuwachukia, yani chenye manuafaa kwao ndicho wanachofanya, watu sasa wamechoka hakuna kama zamani taifa kubwa sijui nini, angalia syria ama yemen waandamanaji wanavyokufa, lakini NATO kuna nini wanachofanya? ama Bahrain wanajeshi wa saudia walikuwa wanakwenda kuua wanaoandamana nani anajali hakuna, kwanini hakuna, yemen na syria hawana ambacho mataifa ya magharibi itakipata na bahrain tayari himo mikononi mwao, yani hii dunia inavyoendeshwa unaweza kupata wazimu ukifikili sana.
 
wamarekani wanajiongezea tu kutafuta mataifa ya kuwachukia, yani chenye manuafaa kwao ndicho wanachofanya, watu sasa wamechoka hakuna kama zamani taifa kubwa sijui nini, angalia syria ama yemen waandamanaji wanavyokufa, lakini NATO kuna nini wanachofanya? ama Bahrain wanajeshi wa saudia walikuwa wanakwenda kuua wanaoandamana nani anajali hakuna, kwanini hakuna, yemen na syria hawana ambacho mataifa ya magharibi itakipata na bahrain tayari himo mikononi mwao, yani hii dunia inavyoendeshwa unaweza kupata wazimu ukifikili sana.
mkuu hapo umenena yaani hata mara nyingine unapenda ufe mapema maana yake vita ya tatu ya dunia yaja
 
Israel imezungukwa na maadui pande zote hivyo ni vizuri ikawa na silaha za nyuklia za kujilinda! Hata hivyo sina uhakika kama Israel ni signatory wa Nuclear Non-Proliferation Treaty!
hiyo wameanzisha mataifa ya kimagharibi ili iwe wenyewe wawe wanauwezo wa kuzitumia wanavyotaka. eti israel iwe inajilinda,mkuu mbona palestina waliingiliwa bila hodi alafu unataka watu wacheke na israel.makosa wameanzisha wenyewe alafu wanataka peace.
 
Duniani hakuna haki labda mbinguni............mnasahau kuwa huku home CCM ina manufaa mengi kuliko upinzani?
 
LordJustice umefikiria uliyoyasema au wewe pia ni katika wale 'friends of Israel' ambao chochote Waisraeli wafanyacho ni sawa? Hata Iran imezungukwa na maadui, jee iwe na silaha za nuklia?
 
Inategemea ratio ya vichaa na wazima katika taifa,Mataifa mengi ya kiarabu na kiajemi vichaa ni wengi kuliko wazima,hii inatokana kwa kiasi kikubwa na mfumo wao wa maisha waliorithishwa na Marehem Muhamad,Idadi ya vichaa kati ya Waisrael ni wachache mno kiasi kwamba hata uchaguzi ukifanyika ni vigumu mno kupata kiongozi kichaa,hata akipatikana kichaa anaweza akawa peke yake kiasi kwamba maamuzi ya ukichaa wake yatashindwa kutekelezwa,Laikin kwa nchi za Kiislam idadi ya vichaa ni wengi kiasi kwamba uchaguzi wowote ule utazaa idai kubwa ya viongozi vichaa wenye maamuzi ya kichaa,hivyo kwa kuwa Israel ipo katikati ya vichaa ni busara ya kawaida kuruhusu imiliki silaha za nuclear kwa imani kwamba matumizi yake yatakuwa pale tu ambapo atasukumwa na mmoja wa vichaa wanaomzunguka kama njia nyingine zozote zikishindikana na bado anaouwezo kwa kujidhibiti hata katika hali ya kubughuziwa na vichaa wanaomzunguka, kama silaha za nuclear zikiruhusiwa kwa vichaa kama ahmednejjad et al,wategemea nini,dunia itakuwa si mahala salama kwa maisha
 
Inategemea ratio ya vichaa na wazima katika taifa,Mataifa mengi ya kiarabu na kiajemi vichaa ni wengi kuliko wazima,hii inatokana kwa kiasi kikubwa na mfumo wao wa maisha waliorithishwa na Marehem Muhamad,Idadi ya vichaa kati ya Waisrael ni wachache mno kiasi kwamba hata uchaguzi ukifanyika ni vigumu mno kupata kiongozi kichaa,hata akipatikana kichaa anaweza akawa peke yake kiasi kwamba maamuzi ya ukichaa wake yatashindwa kutekelezwa,Laikin kwa nchi za Kiislam idadi ya vichaa ni wengi kiasi kwamba uchaguzi wowote ule utazaa idai kubwa ya viongozi vichaa wenye maamuzi ya kichaa,hivyo kwa kuwa Israel ipo katikati ya vichaa ni busara ya kawaida kuruhusu imiliki silaha za nuclear kwa imani kwamba matumizi yake yatakuwa pale tu ambapo atasukumwa na mmoja wa vichaa wanaomzunguka kama njia nyingine zozote zikishindikana na bado anaouwezo kwa kujidhibiti hata katika hali ya kubughuziwa na vichaa wanaomzunguka, kama silaha za nuclear zikiruhusiwa kwa vichaa kama ahmednejjad et al,wategemea nini,dunia itakuwa si mahala salama kwa maisha

Nimependa mno uchambuzi wako. Na ndo ukweli! Historia imethibitisha hayo yote uliyoyaandika. Hongera Mkuu.
 
Israel imezungukwa na maadui pande zote hivyo ni vizuri ikawa na silaha za nyuklia za kujilinda! Hata hivyo sina uhakika kama Israel ni signatory wa Nuclear Non-Proliferation Treaty!

Israel hakusain NPT na hiyo ni excuse nzur kwake pamoja na kuwa na vigogo wakimlinda lyk USA
 
Unafiki wa marekani kwa mataifa yanayoendelea,wao wana silaha za nyuklia kisha wanawasema wengine.lengo lao ni vita ya tatu ya dunia ili wanemeke kama 1WW na 2WW wanawafagilia Israel cause ndo waundaji wa silaha zote za marekani Israel wanawapiga palestina UN Kimya-ni umoja wa mataifa au taasisi ya marekan
 
Erdogan na serikali yake ni wanafiki vilevile kama hizo nchi za magharibi, kwanza mbona wao wamekuwa na uhusiano wa nguvu na Israel kwa miaka yote hii? Anatafuta tu kuosha sura mbele ya mataifa ya 'wapiga kelele' Hivi anataka kusema hajui Wayahudi wamechangia kiasi gani ktk teknolojia ya nuclear?
 
Waziri Mkuu wa Uturuki amesema kuwa nchi za Magharibi zinaendesha siasa za nyuso mbili katika suala zima la silaha za nyuklia.
Recep Tayyid Erdogan amesema hayo alipohojiwa na televisheni ya CNN na kuongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndio utawala pakee unaomiliki silaha za nyuklia katika eneo la Mashariki ya Kati na kuhoji akisema, vipi nchi hizo ambazo zinaizuia Iran kuwa na silaha za nyuklia haziipigi marufuku pia Israel kumiliki silaha hizo?
Uturuki imepunguza kwa kiasi kikubwa uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya Tel Aviv kukataa kuomba radhi kutokana na makomandoo wake kuuvamia msafara wa meli za misaada uliokuwa unaelekea Ghaza tarehe 31 Mei, 2010 na kuua raia tisa wa Uturuki.
Hata hivyo mapema mwezi huu, Waziri wa Uchumi wa Uturuki alisema kuwa nchi yake itaendelea kuwa na uhusiano wa kawaida wa kibiashara na utawala dhalimu Israel.
Takwimu zinaonyesha kuwa, mabadilishano ya kibiashara kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni yalifikia dola bilioni 2.3 kuanzima mwezi Januari hadi Julai mwaka huu.

Kwa hisani ya Redio Tehran
To take care of MIDDLE EAST.
 
Hata Iran Tayari Ana Silaha Za Nyuklia Ila Ni Kwa Siri Sana Hajitangazi Km Hao Vichaa Ya Kiyahudi Katulia 2 Kimya Yeye C Mjinga Akae Bila Nuclear Weaponx Ilhali Anatishiwa Kushambuliwa Na Israel
 
Hata Iran Tayari Ana Silaha Za Nyuklia Ila Ni Kwa Siri Sana Hajitangazi Km Hao Vichaa Wa Kiyahudi Katulia 2 Kimya Yeye C Mjinga Akae Bila Nuclear Weaponx Ilhali Anatishiwa Kushambuliwa Na Israel
 
Israel imezungukwa na maadui pande zote hivyo ni vizuri ikawa na silaha za nyuklia za kujilinda! Hata hivyo sina uhakika kama Israel ni signatory wa Nuclear Non-Proliferation Treaty!

Umekosea kiswahili.
Sema Waungwana wako jirani Na ADUI MKUBWA SANA wa Binaadamu. Nae ni ISRAELI.

Wewe ktk Historia ya Dunia hii wapi ulishaona Taifa HALINA rafiki HATTA MMOJA DUNIANI?

Israel ni Taifa pekee Duniani Lisilo na rafiki wa kweli.

Hao wanajiita marafiki wa Israel Wote wanasema hivyo kwa maslahi tu. Na hayo wanayasema Wazi kabisa.

Hii nchi inatakiwa Ipanguswe kabisa duniani. israeli NI Saratani ya Dunia.
 
Back
Top Bottom