Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 8,761
- 8,640
- Thread starter
- #21
Wanawake ni mabingwa wa kulibeba jambo kwa muda mrefu anaweza akawa amekusamehe lakini akalibeba,"utasikia sijawah muongelesha mwaka mzima"Hahhaha tunatofautisha vipi hivi vitu ?
Maana katika mahusiano wanawake ni hodari sana wa kukumbushia makosa ya nyuma,na wanaume pia ni hodari kukumbushia makosa ya nyuma.
So kwa mfumo huo tunajuaje ?