Kwa nini Huduma ya Choo huwa hazipandi wala hazishuki bei

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Kwa wale wasafiri na wafanyakazi wa mjini wataelewa hili hivi kwa nini Huduma za choo huwa hazipandi wala kushuka bei kama ilivyo Huduma zingine mfano nauli za daladala bidhaa na Nk.

Kwa muda mrefu sasa huduma hii muhimu imebaki na bei yake ile ile ya shilingi 200 per tendo,

Haina kuzidi wala kupungua haijalishi unaenda kupup(Haja kubwa) au ndogo bei ni moja,

Wakati umefika sasa wa kupandisha bei mi nimeanza kutumia hivyo vyoo tangu vyakula vinauzwa buku kwa mama ntilie mpka sasa elfu 2000 lakini huduma ya choo bado iko pale pale shilingi 200,

Haiwezekani mtu unakula chakula cha elfu 5000 alafu unaenda kupup kwa 200 kweli, Nyie wamiliki wa hivyo vyoo ebu fanyeni mpango wa kuongeza bei kidogo iwe ata 500.



CC Zero IQ
 
Hata ule msosi wa laki halafu Mr Mwakalinga naye ale ndizi na maparachichi ya alfu mbili lakini mavi harufu yake ni ile ile ndo maana wakafanya ustaaraabu mavi yote yawe bei moja tu.Yaan mavi ni mavi tu huwez jua bei yake ndo maana yamepewa bei elekezi ya KEBE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyo vya biashara lazima wamiliki wana lipa kodi na wanapewa bei elekezi kwa naona ambavyo sio vya umma ni sh 300 na vya umma vilivyopo masokoni sh 200 kama isingekuwa hakuna muongozo wangepandisha kila anavyo ona yeye
 
wewe gari yako unaweka oil kwenye injini oil unanunua kuanzia elfu 50 au laki au na zaidi lakini uapoitoa unaitupa ovyo au unapakia kwenye gari la taka kwa 1000 tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu umet
Kwa wale wasafiri na wafanyakazi wa mjini wataelewa hili hivi kwa nini Huduma za choo huwa hazipandi wala kushuka bei kama ilivyo Huduma zingine mfano nauli za daladala bidhaa na Nk.

Kwa muda mrefu sasa huduma hii muhimu imebaki na bei yake ile ile ya shilingi 200 per tendo,

Haina kuzidi wala kupungua haijalishi unaenda kupup(Haja kubwa) au ndogo bei ni moja,

Wakati umefika sasa wa kupandisha bei mi nimeanza kutumia hivyo vyoo tangu vyakula vinauzwa buku kwa mama ntilie mpka sasa elfu 2000 lakini huduma ya choo bado iko pale pale shilingi 200,

Haiwezekani mtu unakula chakula cha elfu 5000 alafu unaenda kupup kwa 200 kweli, Nyie wamiliki wa hivyo vyoo ebu fanyeni mpango wa kuongeza bei kidogo iwe ata 500.



CC Zero IQ
Umetumwa wewe sii bure nakukemea kwajina la shetani mkaa chooni ushindwe!!!!!!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wasafiri na wafanyakazi wa mjini wataelewa hili hivi kwa nini Huduma za choo huwa hazipandi wala kushuka bei kama ilivyo Huduma zingine mfano nauli za daladala bidhaa na Nk.

Kwa muda mrefu sasa huduma hii muhimu imebaki na bei yake ile ile ya shilingi 200 per tendo,

Haina kuzidi wala kupungua haijalishi unaenda kupup(Haja kubwa) au ndogo bei ni moja,

Wakati umefika sasa wa kupandisha bei mi nimeanza kutumia hivyo vyoo tangu vyakula vinauzwa buku kwa mama ntilie mpka sasa elfu 2000 lakini huduma ya choo bado iko pale pale shilingi 200,

Haiwezekani mtu unakula chakula cha elfu 5000 alafu unaenda kupup kwa 200 kweli, Nyie wamiliki wa hivyo vyoo ebu fanyeni mpango wa kuongeza bei kidogo iwe ata 500.



CC Zero IQ
Nenda stand ya Mbezi ya Kimara choo ni jero,mawasiliano Mia tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom