swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
- Thread starter
- #21
Sasa mkuu hizo ni story ndani ya kitabu cha Biblia Tuna uhakika gani kuwa siyo hadithi kama hadithi zingine??? Tuna uhakika UPI wa kuamini yaliyopo ndani ya Biblia ni ukweli na siyo story za kutunga???Exactly