Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,819
Ni matumaini yangu mko salama salmini wakuu, kuna kitu huwa kinanishangaza sana, unaweza kuwa huna shida na mtu flani ukawa unamuona mara kwa mara lakini siku utakapomuhitaji tena unakuta una shida ya haraka au hata kama sio ya haraka unakuta mtu huyo au kitu hicho kinaadimika au anaadimika sana, huwa kuna nini hutokea hapa?