Kwa nini herufi e inatumika sana kwenye sentensi kuliko herufi zingine?

The Prophet

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
682
94
huu uzi niliu-upload Jamii Intelligence, lakini nikapata kimeseji ambacho hata sikukielewa.

Anyway, swali langu ni dogo tu. nataka kujua. kwa nini katika sentensi ama matamshi mengi, herufi 'e' huwa ina frequency kubwa ukilinganisha na herufi zingine.

hebu jaribu kuhesabu hata hiyo title ya thread...utagundua kuwa 'e' imetokea mara nyingi zaidi.

kwa nini?

mwenye ufahamu atujuze.
 
Mambo yasiyo na maana na ya kipuuzi achana nayo.
Nioneshe 'e' kwenye hiyo sentesi.
Mbona naona a ndio nyingi.
 
Kwa nini mkono una vidole vitano?
Kwa nini meno yako 32?
Kwa nini jua liko moja?

Jibu maswali hayo kwanza halafu utapata jibu la swali lako.
 
Kiisimu, voweli ni sauti zitokanazo na hewa kupita moja kwa moja kutoka mapafuni bila kuwa na kizuizi kikubwa. Katika lugha ya Kiswahili voweli ziko tano hasa, yaani a, e, i, o, u.
Kwa uchunguzi wangu wa harakaka nimegungua kwamba tofauti na lugha nyinine, Kiswahili kinatumia sana e kwa sababu moja kubwa nayo ni e kuwepo mwishoni mwa kile vitenzi vya dhamira tegemezi (subjunctive mood) mfano mwambie, msalimie, mpokee, mpe, mchekee, mfisadishe, mchongee, mdadavulie n.k n.k.
 
Kiisimu, voweli ni sauti zitokanazo na hewa kupita moja kwa moja kutoka mapafuni bila kuwa na kizuizi kikubwa. Katika lugha ya Kiswahili voweli ziko tano hasa, yaani a, e, i, o, u.
Kwa uchunguzi wangu wa harakaka nimegungua kwamba tofauti na lugha nyinine, Kiswahili kinatumia sana e kwa sababu moja kubwa nayo ni e kuwepo mwishoni mwa kile vitenzi vya dhamira tegemezi (subjunctive mood) mfano mwambie, msalimie, mpokee, mpe, mchekee, mfisadishe, mchongee, mdadavulie n.k n.k.
Irabu sio vowel
 
Small mind discuss people
Average mind discuss events
Great mind discuss ideas
~wallen buffet say

Ni vyema ukapima akili yako ilipo b4 posting
 
Back
Top Bottom