Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Huu ni mlango unaosemekana ni njia ya chinichini iliyokuwa ikitumiwa na viongozi wakati wa Ujerumani ikiitawala Tanganyika, sasa kama kweli tungekuwa na juhudi ya kutafuta pesa mlango huu ungefunguliwa na kuwa kivutio sio tu kwa watalii bali hata wananchi wa nchi kujua historia na utaalamu walioutumia.
Au tunangoja wazungu (wafadhili) watufanyie?
Au tunangoja wazungu (wafadhili) watufanyie?