Kwa nini hakuna Muhindi anakuja kwetu Sinza, Magomeni au Tabata?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Kwanza kwa wasiofahamau Mji wetu wa Dar ulijengwa kwa kufuata mfumo wa apartheid, Wajerumani waliupanga hivyo yaani maeneo ya Wazungu (Oysterbay, Msasani), ya Wahindi/Waarabu (Upanga, na maeneo ya Posta ya leo) na Uswahilini kwetu ambapo ni maeneo ya Magomeni, Temeke, n.k. Waingereza walivyokuja wakaendleza hivyo na tulivyopata Uhuru ikabakia kuwa hivyo isipokuwa Wazungu weusi wakaondoka Uswahilini na kuhamia Oysterbay kwenye Nyumba zilizoachwa na Wazungu!

Sasa wakati wa Utawala wetu na sisi tukaanzisha maaneo yetu mapya kama Sinza, Mwenge, Tabata na udosini kama Mbezi beach n.k. lkn labda kibaya zaidi na kinachosikitisha tumeurithi na kuukubali mfumo wa Apartheid ulioanzishwa na Mzungu na kuendelea kuutumia hata Dodoma tumeanzisha Uzunguni, Uhindini na Uswahilini kwanza nchi nzima utakuta hivyo kuna Uzunguni, Uhindini na mwishoni mkunduni mwa Dunia ndiyo Uswahilini kwetu!

Sasa swali langu ni kwa nini sisi ndo tunataka kwenda kuishi Upanga kwa Wahindi lkn hakun Muhindi anayetaka kuja kuishi Sinza kwetu?

Bila ya kuelewa Historia yetu ya tunakotoka hatuwezi kufanikiwa kwenda mbele kamwe tutapiga maki time hapa hapa tu, nashauri tufute mara moja Uzunguni, Uhindini na Uswahilini, hasa kwenye maeneo yetu mapya, ...
 
Kwanza kwa wasiofahamau Mji wetu wa Dar ulijengwa kwa kufuata mfumo wa apartheid, Wajerumani waliupanga hivyo yaani maeneo ya Wazungu (Oysterbay, Msasani), ya Wahindi/Waarabu (Upanga, na maeneo ya Posta ya leo) na Uswahilini kwetu ambapo ni maeneo ya Magomeni, Temeke, n.k. Waingereza walivyokuja wakaendleza hivyo na tulivyopata Uhuru ikbakia kuwa hivyo isipokuwa Wazungu weusi wakaondoka Uswahili na kuhamia Oysterbay kwenye Nyumba zilizoachwa na Wazungu!

Sasa wakati wa Utawala wetu na sisi tukaanzisha maaneo yetu mapya kama Sinza, Mwenge, Tabata na udosinikama Mbezi beach n.k.!

Sasa swali langu ni kwa nini sisi ndo tunataka kwenda kuishi Upanga kwa Wahindi lkn hakun Muhindi anayetaka kuja kuishi Sinza kwetu?
Kwani huko Sinza pamepimwa au mlijenga vuruvuru ?
 
Kwani huko Sinza pamepimwa au mlijenga vuruvuru ?


Swali ni kwamba kwa nini sisi tunataka kwenda kuishi Uhindini walipopajenga lkn Wahindi hawataki kuja kuishi kwetu kama Sinza au hata Mbezi beach?
 
Swali ni kwamba kwa nini sisi tunataka kwenda kuishi Uhindini walipopajenga lkn Wahindi hawataki kuja kuishi kwetu kama Sinza au hata Mbezi beach?
Huko ni pazuri zaidi, viwanja vimepimwa na hakuna vurugu kama huku kwetu maana huku kwetu mtaa huo huo "Kuna soko, kanisa, msikiti, hospitali, shule etc, Ukitaka kujenga au ukiugua hakuna hata sehemu ya kupitishia lori la mchanga au ambulance, sasa ni nani anapenda mazingira kama hayo ?
 
Kwanza kwa wasiofahamau Mji wetu wa Dar ulijengwa kwa kufuata mfumo wa apartheid, Wajerumani waliupanga hivyo yaani maeneo ya Wazungu (Oysterbay, Msasani), ya Wahindi/Waarabu (Upanga, na maeneo ya Posta ya leo) na Uswahilini kwetu ambapo ni maeneo ya Magomeni, Temeke, n.k. Waingereza walivyokuja wakaendleza hivyo na tulivyopata Uhuru ikabakia kuwa hivyo isipokuwa Wazungu weusi wakaondoka Uswahilini na kuhamia Oysterbay kwenye Nyumba zilizoachwa na Wazungu!

Sasa wakati wa Utawala wetu na sisi tukaanzisha maaneo yetu mapya kama Sinza, Mwenge, Tabata na udosini kama Mbezi beach n.k. lkn labda kibaya zaidi na kinachosikitisha tumerithi na kuukubali mfumo wa Apartheid ulioanzishwa na Mzungu na kuendelea kuutumia hata Dodoma tumeanzisha Uzunguni, Uhindini na Uswahilini kwanza nchi nzima utakuta hivyo kuna Uzunguni, Uhindini na mwishoni mkunduni mwa Dunia ndiyo Uswahilini!

Sasa swali langu ni kwa nini sisi ndo tunataka kwenda kuishi Upanga kwa Wahindi lkn hakun Muhindi anayetaka kuja kuishi Sinza kwetu?

Bila ya kuelewa Historia yetu ya tunakotoka hatuwezi kufanikiwa kwenda mbele kamwe tutapiga maki time hapa hapa tu, nashauri tufute mara moja Uzunguni, Uhindini na Uswahilini, hasa kwenye maeneo yetu mapya, ...


Sinza wapo, Kimara wapo, Kimara Temboni na Mbezi mwisho wapo, Mbezi Beach wapo. Sijui huko Tabata na Migomigo.
 
kutokujua historia yetu ni sawa na kwenda mbele hatua 2 na kurudi nyuma hatua 10
 
Back
Top Bottom