Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Yaani ukikutana na graduate WA udsm WA sasa anazidiwa na mhitimu diploma. Akishamaliza kujisifia kuwa nimesoma udsm vingine hasa uwezo WA kupambanua mambo professionally utawasikitia maskini ya Mungu!
Hivi udsm ya sasa imekuwaje jamani? Au huko chuoni wamebaki wanafundishwa kusifia chuo tu na siyo kupewa elimu yenyewe?
Najua wahitimu WA udsm mtatoa povu lakini ukweli ndio huo
Hivi udsm ya sasa imekuwaje jamani? Au huko chuoni wamebaki wanafundishwa kusifia chuo tu na siyo kupewa elimu yenyewe?
Najua wahitimu WA udsm mtatoa povu lakini ukweli ndio huo