Kwa nini faru ndungai!!??

Nimesikia Leo kwenye media kuwa ndani ya hifadhi ya ngorongoro kuna faru ndungai.
Nimebaki najiuliza:
>Kwa nini wamuite faru ndungai?
>Je, huyu faru ndungai ni jike au dume?
> Au huyo faru naye anahasira za karibu kama Mheshimiwa!!.
Njia ya Serikali kuvuta bunge upande wa serikali kwa kumpetipeti Mr Speaker ili kumziba Masikio, Mdomo, Pua na Macho
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom