kama ipi mkuu mbona humu ndani kuna bunch of discussion zinaendelea zinahusu serikali? at least not less than ten everyday....may be u mean something else, mimi nilipost mada after 5 min sikuiona lakini sio kwamba ilitoka ilienda kwenye next pages, ukienda next next next utaikuta tu, things can not be piled up on the single page mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.