Rais2020
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 3,248
- 5,532
Mkuu.
Inapotokea ajali siku zote huwa ni sherehe kwenu maana ni muda wa kupokea kafara. Ajali ikitokea na damu ile akaiona anachokifanya kama atakuwa kaacha mbali vifaa kazi nyumbani kwake basi hurudi kimya kimya mpaka nyumbani kwa ajili ya kupokea hizo baraka(damu).
Namna ya kuzipokea hizo baraka
Baraka hupokelewa kwa namna tofauti tofauti lakini namna ya kipekee kabisa ni kunawa kwa kutumia mafuta na maji maalumu. Haya maji ni adimu sana kuyapata na ktk mwaka mzima hupatikana Mara tu tena kwa masaa 2 au 3 na baadae hupotea.
Nguo nyeusi kwenu ni sawa na mavazi ya kawaida yanayovaliwa kanisani(cjui kama umeniepewa hapa).
Kucheka cheka
HAWA watu huwa na false smiling face maana huruhusiwi kuonesha true smiling face ktk upande wa 17 wa uchawi.
Inapotokea ajali siku zote huwa ni sherehe kwenu maana ni muda wa kupokea kafara. Ajali ikitokea na damu ile akaiona anachokifanya kama atakuwa kaacha mbali vifaa kazi nyumbani kwake basi hurudi kimya kimya mpaka nyumbani kwa ajili ya kupokea hizo baraka(damu).
Namna ya kuzipokea hizo baraka
Baraka hupokelewa kwa namna tofauti tofauti lakini namna ya kipekee kabisa ni kunawa kwa kutumia mafuta na maji maalumu. Haya maji ni adimu sana kuyapata na ktk mwaka mzima hupatikana Mara tu tena kwa masaa 2 au 3 na baadae hupotea.
Nguo nyeusi kwenu ni sawa na mavazi ya kawaida yanayovaliwa kanisani(cjui kama umeniepewa hapa).
Kucheka cheka
HAWA watu huwa na false smiling face maana huruhusiwi kuonesha true smiling face ktk upande wa 17 wa uchawi.