Elections 2010 Kwa nini Clouds FM wanatisha wananchi?

Gurudumu

JF-Expert Member
Feb 5, 2008
2,349
261
Clouds FM inatangazia wananchi kwamba kuna watu wanahamasisha umwagaji damu. Kisha wanapiga wimbo wa taifa hovyo hovyo jambo ambalo mtu atadhani rais anataka kutangaza Hali ya hatari.

Clouds na CCM wanapotosha umma. Kwa nini CHADEMA wakilalamika na kutoa ushahidi wa wizi wa kura, Clouds na CCM wanatangazia watanzania kuhusu umwagaji damu? Kwa nini wasiambie tume ifute Uchaguzi tuanze upya ili tume isisababishe umwagaji damu? Kwa nini kila Uchaguzi Tume na ccm wanaiba kura halafu wanatuambia tukubali matokeo ili tusimwage damu?

Kwa nini CCM na tume wako tayari kumwaga damu kuliko kutenda haki?
 
clouds wamejaa mbumbumbu watupu unategemea nini
hawa akina hando, sijui kijamaa kinaitwa bonge uozo mtupu.
 
"nikija kusikia chenge/lowasa amekuwa spika nitahamasisha tuwakatae kwa maandamanoi yawe na amani au ya vurugu.......ikishindikana kwamba watz hawako tayari basi mimi nitahama nchi"

kumbuka: Chenge achukua fomu kugombea uspika.
 
Acha bwana vijana walisha nunuliwa kwa pesa za kutosha na ccm na mafisadi kwa hiyo wanatekeleza agizo la mkuu wao kusaga kwani ndiye aliyepewa mgawo ili vijana wafanye kazi za siasa kwenye clouds......nasikia kati ya wote kibonde ndiye alipewa mgawo mkubwa...............
 
"nikija kusikia chenge/lowasa amekuwa spika nitahamasisha tuwakatae kwa maandamanoi yawe na amani au ya vurugu.......ikishindikana kwamba watz hawako tayari basi mimi nitahama nchi"
Ukisusa unawapa nafasi ya KULA vizuri, dawa Ni ku wa Assassin hawa Wahuni kwanza hawana ulinzi wowote.
 
Since when has CCM cared about justice?

Jamani, kama ambavyo Chenge amediriki kugombea kwa kuchakachua, anahaki ya kugombea Uspika ka mtindo uleule....Kuna watu walishapata utando wa mawazo, utando wa akili, utando wa fikra na upofu wa kila aina. Chukua panzi aina ya senene anavyoweza kujificha kichwa huku zaidi ya 70% ikiwa nje.....ndivyo viongozi wetu wanaoamini kuwa UONGOZI kwao ni LAZIMA. Utawatambuaje?

1. Hawadhubutu kuongelea UFISADI waziwazi,
2. Hawatoi sifa yeyote hata kama ni nzuri vipi kwa umma inayotolewa na mtu aitwaye wa Upinzani,
3. Hujichekelesha chekelesha hata pale wasipotakiwa kuchekacheka mara wakutanapo na watu waliona maslahi nao
4. Huangalia upande mwingine wakikutana na watu maskini barabarani, isipokuwa wakati wa uchaguzi.
5. Hupenda kualikwa kwenye sherehe ili watoe michango mbele ya vyombo vya habari, nk

Mungu ONEKANA SASA.
 
clouds watu wa ajabu sana....huyu Paul James anadiriki kusema tusahau yaliyopita....watu tuibiwe haki zetu alafu tusahau.....wana wazimu nini......hivi wamelipwa kiasi gani mpaka wawe wapumbavu namna hiyo....kweli shida mwanaharamu
 
Simple......WHY CLOUDS????? Uongozi wanaoutaka ndo umewapa Clouds TV.....So they are expecting more within 5 Years....They care 4 themselves......Shame upon them.....Why cant they preach the reality.....Kwani hawajui uovu wa CCM na TUME ya Uchaguzi??? Why wapo Kimya??????
 
Wana maslahi na ccm! lakini wajue kwamba watu hawaogopi kumwaga damu siku hizi. mbona kufa tunakufa kila siku!! Kuishi maisha ya kimaskini na kugandamizwa nako pia ni kufa. Ni bora kumwaga damu nyingi kwa mara moja na baadae kutomwaga damu tena kuliko kuendelea kumwaga damu kidogokidogo milele!
 
watangazaji ni watu walioprove failure ya life so ni VILAZA..
KAMA UNASKIZA WEWE SKIZA MIZIKI TENA BAADHI TU
 
Hawa watu wameathirika ubongo kama hawajui nguvu ya umma wasubri kama wanafikiri pale walipo wako salama wanaweza kuchomwa moto wa JEHANAMU
 
watangazaji ni watu walioprove failure ya life so ni vilaza..
kama unaskiza wewe skiza miziki tena baadhi tu

hawa wala awajapewa hela yyote ni kujipendekeza karibu na viongozi ili wapewe hata elf kumi ya bia nani amuonge mjinga hela hata mia awapati ni umbumbumbu wao maskini tu wale awana hata kitu cha maana nashaangaa kwa nini mna wadiscuss washenzi hawa...we have so many things to worry about nt these fools....wahuni tu awa wataishia tu na vikazi vyao vya laki tatu uku wenzao wanasonga mbele...
 
Hivi kwa nini CCM wanawatumia sana clouds?
Clouds ni redio ya fisadi wa CCM?
 
siku kikinuka tunaanza nao pale mikocheni...ujue umbumbu wa hawa watu ni kwamba wansahau kwamba tunaishi nao mitaani, na kwamba familia zao tunazijua na tuko nazo huku huku uswahilini, sasa wakiwa pale wanatisha watz wanadhani kikishatibuka wao watakuwa salama, tutazaa nao na tutahanja nao..na kwa sababu ya kuwasaliti watz tutaanza nao pale mikocheni ili wajue vizuri nguvu ya umma ikoje..
 
Hivi Clouds FM nayo ni station ya kusikiliza !!!!! Pale we burudika na music tuuuu na ingefaa kuwa hivyo
Music na Burudani station, haya mengine waachee maana kwao ni negative !!!!!!
 
Back
Top Bottom