Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Wakati nikisikiliza taarifa ya habari ITV Chidumule akiwa msibani kwa Dr. Remi Ongala alipewa nafasi ya kuongea chochote. Alisema kuwa marehemu alikuwa mwanamuziki mahili lakini alikuwa hatembei mabega juu ila anashangaa wanamuziki wa bongo flavor ambao kwanza wamepanga kwenye mabanda ya uani harafu wanatembea mabega juu na wale wa dini kasema wakitoa kasingle kamoja basi wanamsahau hata askofu.
My take: Wanamuziki wa zamani hawawapendi vijana wa bongo flavor maana nilishamsikia ngurumo pia akiwachana kuwa wanaimbia juu, hivyo hawana maana.
ebu nisikie views zenu nanyi pia wana jf.
My take: Wanamuziki wa zamani hawawapendi vijana wa bongo flavor maana nilishamsikia ngurumo pia akiwachana kuwa wanaimbia juu, hivyo hawana maana.
ebu nisikie views zenu nanyi pia wana jf.