KWA NINI CHENGE KILA KASHIFA YUMO

BALAGASHIA

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
392
383
597c0d07f90e6425f6a1ea1598aed9fe.jpg
 
He. Is the best striker of the century in Tanzania for graft and bribe.
 
Kwasababu ya maajabu ya jina lake!

Ukiitumia "A" kwenye "E" jina linbadilika kuwa la kizungu likiwa na maana tofauti na lile la kiswahili, Fuatana nami:-
Cheng'A' = Chenga - hapo utamkamataje?

Ch'A'nge = change - anakuwa amebadilika yeye au unabadilika wewe!!!

Niambieni unamkamataje?
 
Kwasababu ya maajabu ya jina lake!

Ukiitumia "A" kwenye "E" jina linbadilika kuwa la kizungu likiwa na maana tofauti na lile la kiswahili, Fuatana nami:-
Cheng'A' = Chenga - hapo utamkamataje?

Ch'A'nge = change - anakuwa amebadilika yeye au unabadilika wewe!!!

Niambieni unamkamataje?


Haaaaaa haaaa haaaa haaaaaa teeeh Haaa haaa Haaa haaa
 
Ukiwa AG harafu mjanja mjanja lazima upige tu hamna namna ..vetting haikufanyika wakati wa uteuzi wake.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom