Kwa nini Chenge aligombea Uspika

chidide

Member
Nov 11, 2010
91
9
Mh. Chenge aligombea uspika kwa maelekezo mahsusi ya kuzima vuguvugu la kupinga matokeo ya uchaguzi lililokuwa linaletwa na Chadema. Na katika hili kwa kweli walifanikiwa sana coz waTZ wote tuli shift kwenye uchaguzi wa spika na kuanza kumsifia Sitta. Mbinu hii inatumiwa sana na usalama wa taifa. Kumbukeni kisa cha MANYOYA pale surrender bridge, wakati ul ebunge lilikuwa limetoka kufuta issue ya Richmond. Ombi langu kwa wana JF wakati wote tujaribu kucheck issues zinazotokea from all angles!!!!
 
Sikubaliani na wewe hata kidogo kuwa Chenge aligombea kwa sababu hiyo uliyotoa! Hapana.
Kosa Wingereza kutoa tamko juu ya issue ya Chenge, ilikuwa leo tungekuwa tunamzungumzia Chenge ni Spika wa bunge.
Chenge alipangwa awe spika, Ana Makinda ni plani B tu.
 
Back
Top Bottom