Kumbe ni filam! Maana chatu hana uwezo wa kumbana chui au pumaNalichukia hili linyoka, nimeona filamu limembana chui mpaka ulimi wote nje, limemeza mtu huko Indonesia hivyo hivyo limembana mbavu na kumbugia, nalichukia hili dudu, arggghhh!
Nalichukia hili linyoka, nimeona filamu limembana chui mpaka ulimi wote nje, limemeza mtu huko Indonesia hivyo hivyo limembana mbavu na kumbugia, nalichukia hili dudu, arggghhh!
MkuNalichukia hili linyoka, nimeona filamu limembana chui mpaka ulimi wote nje, limemeza mtu huko Indonesia hivyo hivyo limembana mbavu na kumbugia, nalichukia hili dudu, arggghhh!
Mkuu wewe umewaona boor constrictors ndio namna yao ya kupata chakula hawana tofauti na wewe mwana ccm mnaminya demokrasia mnawiri nyie kwahiyo usimuonee chatu anza na liccm lako ndio chatu halisi hebu mtapikeni bs8Nalichukia hili linyoka, nimeona filamu limembana chui mpaka ulimi wote nje, limemeza mtu huko Indonesia hivyo hivyo limembana mbavu na kumbugia, nalichukia hili dudu, arggghhh!
Leta link na sisi tuangalie au tutajie jina la movieNalichukia hili linyoka, nimeona filamu limembana chui mpaka ulimi wote nje, limemeza mtu huko Indonesia hivyo hivyo limembana mbavu na kumbugia, nalichukia hili dudu, arggghhh!
Hata mimi naona uwezo wa Wabongo kutumia fasihi unavyokua.Nikajua Chatu wa Chattle
Mkuu kiranga huyu Barbarossa ni ccm kindakindaki wala hajatumia fasihi ni matukio ya kweli aliyozungumzia na chatu wsmemeza kweli watu kule mindanao Philippines nimekaa Kule miaka 2 na Dr mihanjo wa ccmHata mimi naona uwezo wa Wabongo kutumia fasihi unavyokua.
Chatu J huyu atakuwa
Ujue fasihi uzuri wake inaweza kuchukua ubongo wako hata kama weweni CCM ukajikuta umemrushia dongo mwenyekiti wako bila kujijua.Mkuu kiranga huyu Barbarossa ni ccm kindakindaki wala hajatumia fasihi ni matukio ya kweli aliyozungumzia na chatu wsmemeza kweli watu kule mindanao Philippines nimekaa Kule miaka 2 na Dr mihanjo wa ccm