Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,782
Jinsi niwasomavyo chadema in kama vile wanaamini kabisa haki iko kwa Muzungu, yaani Muzungu ni mtenda haki na ukimpelekea shida au tatizo lako atatoa uamuzi ulio sawa.
Ni kwa nini chadema wanaamini hivi kama Muzungu mwenyewe kwenye nchi yake hakuna usawa, iweje akupe wewe usawa?
Hamuoni kwamba mnajishusha sana kama binadamu? Kwa maana kwa kawaida mtu dhaifu haheshimiwi hata siku moja, hivyo Muzungu atamuheshimu mtu jeuri klk anayejishusha, ...
Ni kwa nini chadema wanaamini hivi kama Muzungu mwenyewe kwenye nchi yake hakuna usawa, iweje akupe wewe usawa?
Hamuoni kwamba mnajishusha sana kama binadamu? Kwa maana kwa kawaida mtu dhaifu haheshimiwi hata siku moja, hivyo Muzungu atamuheshimu mtu jeuri klk anayejishusha, ...