yaan kati ya watu waliokwisha nikera hapa jf we unaongoza. Hv kwann[/B].
hujanielewa nakukumbusha tu kwamba mwenyekiti wenu ana tabia ya kukimbia midahalo kwa nini? hawezi kujenga na kutetea hoja zake?Mkubwa suala limefika mahala pake ila sijui wewe unaonaje hili suala na kama CDM ingekua ya vijana peke yao sijui kama tutafika kwani
hamna taifa ambalo lina vijana peke yao.
Huyu ni mtu makini hawezi kuzungumzia kitu kilichowazi kabisa kwa kila mtu, Kikwete pia namheshimu sana kwa kuelewa situation mapema, na ndiyo maana akamtuma Kinana aseme akina Slaa siyo saizi yake, wee unategemea nini kumuingiza kilaza katikati ya PHD mbili? unategemea atazungumza nini? Kikwete ungemuweka na wazee wa Dar es Salaam kweli hapo anaweza kuwa na cha kuongea.Mbona huongelei mdahalo wa Kikwete, Lipumba na DR.Slaa?
CUF wanatumia majini
namimi nauliza CHADEAMA ni chama kipi hicho??....Jamani mwenzetu kauliza swali, badala ya kujibu na wewe unakuja na swali lako. Miafrika ndivyo Tulivyo.
Tusijaribu ku-divert issue, swali kwanini wabwagwe kila siku? Je ni vilaza ingawa "tunawapenda"? Je, kupenda vilaza si hatari kwa taifa?Sisi tunaitaji watendaji na si wachapa midomo
Hao CUF waliunga mkono uwepo wa posho , Maalim Seif hajatoa cheche yeyote kwenye Spice islander isssue
CUF wanatumia majini
Hii Approach yako kaka si ya kitaalam, kuna watu ambao ni wataalam kuongea mbele ya watu na wengine sio lakini kwa utendaji inaweza ikawa tofauti kabisa. Unaweza kumuona kwa kiasi fulani A L Mrema na ccm yote ya kipindi chake,Tusijaribu ku-divert issue, swali kwanini wabwagwe kila siku? Je ni vilaza ingawa "tunawapenda"? Je, kupenda vilaza si hatari kwa taifa?