Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Ninasikitika sana na mwenendo wa CCM ya sasa. CCM inayoratibu matukio mengi ya kutisha kama kutoa kucha watu, utekaji na mateso, kuua viongozi wa dini, kulipua nyumba za ibada, kulipua mikutano ya wapinzani, na kubambikia kesi.
Nasikitika sana hii CCM imekuwa ni Genge la Wahuni, Wauwaji, Magaidi, Mafisadi, na kila uchafu usioelezeka VIONGOZI wa CCM wanao. Ni kwa nini..? Too Sad..!
Nasikitika sana hii CCM imekuwa ni Genge la Wahuni, Wauwaji, Magaidi, Mafisadi, na kila uchafu usioelezeka VIONGOZI wa CCM wanao. Ni kwa nini..? Too Sad..!