Gunther1
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 526
- 266
Tosheka na LDC yako kakaGDP ain't nothing, but a number. The truth is, you're among the good food donation recipients. You receive food from even the arid countries.
Tosheka na LDC yako kakaGDP ain't nothing, but a number. The truth is, you're among the good food donation recipients. You receive food from even the arid countries.
Tosheka na LDC yako kaka
Unaonekana unajua sehemu nilizotembelea.... Kwan sahivi niko wapi mzeeHujafika Kenya, wacha uwongo wewe.
Hiyo itabaki historia soon cz ni ukweli usiopingika tulilala sn na ni aibu nchi hii kujilinganisha na Kenya aibu snTatizo walikaririshwa wimbo ambao ilipokezwa mpaka kwa vijana wao.
Mizembe sana hawa, liinchi lote hilo yaani hadi uunganishe Uganda, Rwanda na Kenya ndio zitoshane na Tanzania halafu ina rotuba kila sehemu, full madini lakini maskini wa kutupwa.
Sasa unapinga nini? Kati ya wewe na mimi nani anajua historia ya Kenya?Acha fix mpigwe sanctions kwa harakati gani?...
TanzaniaUnaonekana unajua sehemu nilizotembelea.... Kwan sahivi niko wapi mzee
yani uwana chama mpka kadi...Okotwa tu. View attachment 1308381
Km kimeibiwa kwel, ulimskia nani akilalamika kuhusu mgao wa hicho chakulaWaulize hao viongozi wako walioipongeza Urusi kwa kutoa msaada wa chakula, au hata hicho chakula kimeibiwa na wajanja hakijawafikia wahusika?, kwasababu viongozi wa Kenya kwa ukora, ndio wanaongoza duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu apambane na hali yakeJibu hoja, wacha kukimbilia kivulini. Kenya ina ardhi ya kutosha kuweza kujilisha, kwanini mnashindwa kujilisha?. Hatusemi muwe matajiri kama Qatar au UAE, tunataka mtumie kile kidogo mlichonacho vizuri, hakuna sababu yoyote kwa Kenya kushindwa kujilisha, kwasababu ardhi yenye rutuba mkiitumia vizuri, mnaweza kuzalisha chakula cha kuwatosha na kuuza nje, kama ilivyo ktk maua na chai. Tatizo ni siasa ya ubepari ndiyo inayosababisha njaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio muache tabia ya kuwabatiza vyama watu ovyo ovyo humu pale mkiona mmezidiwa.
Heavy facts 💯👊Tatizo walikaririshwa wimbo ambao ilipokezwa mpaka kwa vijana wao.
Mizembe sana hawa, liinchi lote hilo yaani hadi uunganishe Uganda, Rwanda na Kenya ndio zitoshane na Tanzania halafu ina rotuba kila sehemu, full madini lakini maskini wa kutupwa.
Haha sawa mzee babaTanzania
Tatizo walikaririshwa wimbo ambao ilipokezwa mpaka kwa vijana wao.
Mizembe sana hawa, liinchi lote hilo yaani hadi uunganishe Uganda, Rwanda na Kenya ndio zitoshane na Tanzania halafu ina rotuba kila sehemu, full madini lakini maskini wa kutupwa.
Subiri mwakani.Uchumi wetu ni mara mbili yenu halafu unaropokwa bila aibu eti Capitalism imefeli Kenya. Akili za kuku hizi.
Vigumu sana kuwaelewesha hawa, GDP ya Nairobi pekee inakaribia kutoshana na Tanzania yote ambayo ni muungano wa nchi mbili.
Hawa huwa na kasoro kubwa sana, imagine nchi yote kubwa hivyo na madini na vivutio bora vya utalii na kila kitu lakini bado maskini kupita maelezo.
Tofauti yetu nao ya kiuchumi inazidi kuongezek.
Europe ilikuwa already developed kabla ya world war 2. Kwa hivyo kazi ya Mashall plan haikuwa kufanya Europe iwe developed. Kwa sababu Nchi fulani zilikuwa zimeharibika kabisa baada ya vita kwa mfano Germany, Mashall plan ilikuwa ya kuiwezesha Germany kujenga industries zake zilizoharibiwa ili kurudi katika hali yake ya awali
Tunazungumzia wananchi wa kawaida kufaidi uchumi wao, Mau mau walipigana ili kuhakikisha kwamba ardhi waliyopokonywa inarudi mikononi mwa wananchi, baada ya Uhuru mkasema Mau Mau ni kundi la wahuni na wakora kwasababu tu hawakuridhishwa na watawala wenu weusi kuichukua na kujimilikisha ardhi iliyokuwa mikononi mwa wazungu, lengo la Mau Mau lilikua ni kuhakikisha wananchi wa kawaida wanarudishiwa ardhi yao.
Kenya not yet Uhuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mali ya ule muarabu mliyemteka na kisha kumuachilia si tayari ni asimilia kumi ya mali iliyopo kwenye mikono ya wananchi.GDP ya kenya 75% siyo Mali ya wakenya
GDP ya tz 10% siyo Mali ya watz
GDP ya Nigeria 80% siyo mali ya wanigeria
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya mupo mwakani hiyo