Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Kuna baadhi ya wasichana wanakimbiliwa na wanaume kuolewa, lakini wengine hata wakijirahisha namna gani wanaume wanawachezea kimapenzi na kuwaacha! Tatizo lao wanaoachwa ni nini hasa? Naomba tuchangie ili tuwasaidie hawa dada zetu jamani! Mimi kwa kuanza: 1. Naona baadhi ya Wasichana wako "too selective!" Wanatafuta wenye nazo (vijisenti) zaidi ambao kwa bahati mbaya "huwa wanaoa asubuhi na kuacha jioni!"