Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,613
- 864
WanaJF,
Naomba leo mnisaidie juu ya jambo hili silielewi kabisa?
Natumaini kila mtu atakuwa ameshawahi kufiwa na ndugu yake yoyote katika maisha yake hali inayolazimu kusafirisha maiti.
Takwimu ambazo siyo sahihi lakini zina ukweli ndani yake ni kwamba misafara mingi sana inayosafirisha maiti aidha hukumbwa na vimbwanga vya ajabu ajabu au ajali kabisa na kisababisha tena vifo vya watu wengine!!!!!!
Hii haiishii kwa wanaosafirisha hata ndugu mbali mbali ambao nao huja hujikuta aidha wamepata ajali au kukoswa koswa na ajali mbaya kabisa!!!!
Swali langu kwenu mnisaidie kuna nasaba gani ya maajali yasiyo kuwa ya kawaida na misiba?
Kama kuna mtu itakuwa imemgusa kwa namna moja au nyingine natanguliza samahani kwake sina lengo la kumkumbusha machungu.
Nawakilisha.
Naomba leo mnisaidie juu ya jambo hili silielewi kabisa?
Natumaini kila mtu atakuwa ameshawahi kufiwa na ndugu yake yoyote katika maisha yake hali inayolazimu kusafirisha maiti.
Takwimu ambazo siyo sahihi lakini zina ukweli ndani yake ni kwamba misafara mingi sana inayosafirisha maiti aidha hukumbwa na vimbwanga vya ajabu ajabu au ajali kabisa na kisababisha tena vifo vya watu wengine!!!!!!
Hii haiishii kwa wanaosafirisha hata ndugu mbali mbali ambao nao huja hujikuta aidha wamepata ajali au kukoswa koswa na ajali mbaya kabisa!!!!
Swali langu kwenu mnisaidie kuna nasaba gani ya maajali yasiyo kuwa ya kawaida na misiba?
Kama kuna mtu itakuwa imemgusa kwa namna moja au nyingine natanguliza samahani kwake sina lengo la kumkumbusha machungu.
Nawakilisha.