Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
- Thread starter
- #21
mmmh uchungu gani jamani si usem tu wanadai akipitia kule nanii inachukua muda kurudi kwenye form yakeKuna hosp ni kweli wanalazimisha hizo siza. ila pia mabinti wa siku hizi wengi hawapendi kujifungua kikawaida, eti ni RISK............. utakuta mtu mzima na afya yake anaomba siza. Wengine eti wanaogopa uchungu (sijui kuna mtu aliwahi kufa kwa uchungu?)..... mi huwa nashindwa kuelewa.