MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
Hii tume ya Uchaguzi ya kenya haina mlinganisho, NEC ni pure CCM na kama NEC ndo itaendelea kwa muundo huu wa sasa bora wakashiriki CCM wenyewe, kwa kifupi hatuna tume tuna branch ya CCM inayo simamia uchaguzi.
Kwa hii NEC kuitoa CCM ni ndoto za mchana.
NEC haiwezi ruhusu Parallel tallying na hata CCM hawezi kubali NEC wafanye kitu kama hicho.
Kwa hii NEC kuitoa CCM ni ndoto za mchana.
NEC haiwezi ruhusu Parallel tallying na hata CCM hawezi kubali NEC wafanye kitu kama hicho.