nver gve up
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 247
- 116
Jaman ndugu zang watanzania jana kijiji flani kama una elekea tabora kuna majambaz yali vamia nawalikuwa wana bunduki na risasi silipigwa sana .......huku tunako kwenda wa tanzania ni wap?????
Kwa Tabora wala sishangai, ndiyo kwetu huko yaani tangu vita vya burundi na rwanda hatujawahi kuishi kwa amani. Silaha kutoka nchi hizo zimetapakaa sana Tabora,Kigoma na RukwaJaman ndugu zang watanzania jana kijiji flani kama una elekea tabora kuna majambaz yali vamia nawalikuwa wana bunduki na risasi silipigwa sana .......huku tunako kwenda wa tanzania ni wap?????