KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Jamani Mimi nilienda Hapa Malawi lakini chakushangaza nimekuta mafuta ya petrol na Diesel vipo Bei chini!!!!Nikashindwa kupata jibu bei ya huko kwa samani ya huku nikama sh,1270 kwa bei ya petrol Diesel ni sh 1100/ Sasa mimi sielewi nikwanini nawao yanapita hapa au serikali yao imeruhusu CHAKACHUA??HAWAPATI HASARA??.Najua katika JF kuna wadau wamaswala ya mafuta Ewura,TRA Nishati na madini wanaweza kutoa mchango wao.:A S-confused1: